MFUMUKO WA BEI WA TAIFA KWA MWEZI MEI, 2017 UMESHUKA HADI ASILIMIA 6.1
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoR4slj-6Qez7p5ybYPwL2wr6PDj0-ImSDvdPiiG_Z__NMYh-h3vlEkcmzpW4zlprHc8DkllwnAVJEAg8PgAf-OwOzUwkceJgOL38VR7dWKMnwEiztesMED_gnohXWLEfMzW9ziqAzcYB_/s640/18425248_1894204544185794_5990493402808254647_n.jpg)
Akizungumza na
waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo amesema
kupungua kwa mfumuko wa bei kunatokana na kupungua kwa kasi ya upandaji wa bei
za bidhaa na huduma ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwezi Aprili, 2017.
No comments