TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA KUFANYIKA KUANZIA FEBRUARI 9 HADI 12, 2017 MJINI NGOME KONGWE VISIWANI ZANZIBAR .
Tamasha
la Sauti za Busara, Journey Ramadhan amesema aliwasiliana na mwakilishi wa
kikundi hicho kwa ajili ya kusaini mkataba huo bila ya mafanikio.
"Yamoto
Band tuwalingiza kwenye orodha na uamuzi wa kuwaondoa ulikua mgumu sababu awali
tuliwatafuta na walikubali kushiriki ila dakika za mwisho walishindwa kutoa
ushirikiano katika usainiwaji wa mkataba tuliowapa," amesema.
Badhi
ya bendi kutoka ndani ya nchi ambazo zitashiriki katika tamasha hilo ni pamoja
na Afrijam, CAC Fusion, Jagwa Music, Tausi Women's Taarab, Usambaa Sanaa Group
pamoja na Wahapahapa.
Baadhi
ya wasanii kutoka nje nchi wakazoshiriki
ni Bob Maghrib kutoka Morocco, Heart The Band kutoka Kenya, Buganda
Music Ensemble kutoka Uganda na Imena Cultural Troup kutoka Rwanda
No comments