TAARIFA KUTOKA TRL: SAFARI YA TATU ZA JIONI KWA TRAIN YA DAR_ PUGU KUANZIA KESHO
Kampuni
ya reli Tanzania TRL imesema safari za
train yakwenda Pugu awamu ya jioni zilizo kuwa zimesitishwa zitaanza tena siku
ya jumatano January mwaka huu na safari Zita anzia kituo kikuu cha Dar es
salaam saa2:15 usiku na kuwasili Pugu saa 3:10 usiku.
Akizungumza
na waandishi wa habari kaimu Mkuu wa
usafirishaji na reli Rashidi
Ng'wani amesema kureje kwa safari hizo
kuna fuatia kukamilikakwa matengenezo ya kutandika reli mpya katika eneo korofi
kati ya stesheni za Ilala
block post na karakata.
Aidha
amesema kuwa safari za awamu ya asubuhi zitaendelea kuwa mbili tu kwa kuwa kazi ya ukarabati haijakamilika
baadhi ya maeneo , kazi ya ukarabati wa reli ulianza January 2/ 2017.
Ameongeza
kuwa ukarabati huu unalengo la kuimarisha njia ya reli katika eneo hilo ambalo
kwasasa linapitisha train nyingi kwa
siku kuliko ilivyokuwa imezoeleka hapo awali.
Hata
hivyo ukara huo uraondoa kero ya vumbi
kwa abiria kwenye mabehewa kwa kuwa
njiayite itawekwa kokoto za kutisha
ambazo hazina vumbi .
Ukarabati
huu ni wakubadilisha reli ndogo za ratili 60 na kuweka reli kubwa za ratili 80
ambazo ni imara zaidi na kuwezesha gari Moshi kutembea kwa usalama zaidi
No comments