TMA YAKUMBUSHWA KUZINGATIA TARATIBU ZA SHERIA NA MATUMIZI YA FEDHA
Morogoro;
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), wamekutana kupitia kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TMA kilichofanyika katika ukumbi wa NSSF, Morogoro kuanzia Tarehe 03 – 04 Aprili 2023, kwa dhumuni la kupokea, kujadili na kupitisha mapendekezo ya bajeti ya Mamlaka kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024.
No comments