Breaking News

Chuo Cha Kodi (ITA) Chapongezwa Kuwajengea Uwezo Wanafunzi Wake

Naibu Kamishna wa Kodi za Ndani kutka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Michael Muhoja akizungumza katika maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo tareha 28 april 2018 jijini Dar es Salaam. Picha na Frank Shija Maelezo.
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kodi (ITA), Dkt. Lewis Ishemoi akizungumza wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni Apri 29, 2018 jijini Dar es Salaam. Siku hiyo ya Ujuzi na Taaluma (Career Day) inayowakutanisha wanafunzi na wadau mbalimbali ambapo wanafunzi uonyesha umahiri wao katika fani wanazosomea. 
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Bi. Natalie Bouely akielezea namna anavyofurahishwa na jinsi Serikali ya Tanzania inavyoshughulikia masuala ya kodi wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni April 29, 2018 jijini Dar es Salaam.
Afisa Uhusiano Mkuu wa Chuo cha Kodi (ITA), Bi. Oliver Njunwa akisisitiza jambo wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo Ar 29,218 jijini Dar es Salaam. 
Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha Kodi (ITASO), Bi. Happines Gherabaster akifafanua jambo wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo April 29, 2018 jijini Dar es Salaam. 
Mwakilishi kutoka Taasisi ya Global Education Link (GEL), Bi. Happiness Agathon akimkabidhi zawadi kwa mwanafunzi wa mwaka wa TATU wa Chuo cha Kodi (ITA), Bi. Nteghenjwa Kidika zawadi ya ushindi wa pili katika uwasilishaji wa mada wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo April 29, 2018 jijini Dar es Salaam. 
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Kodi wakifuatilia hutuba ya mgeni rasmi (Hayupo Pichani) Naibu Kamishna wa Kodi za Ndani kutka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Michael Muhoja (hayupo pichani) ambaye alimwakilisha Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Charles Kichere katika maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo April 29, 2018 jijini Dar es Salaam. 
Mwakilishi kutoka Benki ya CRDB, Bw. Wilberforce Benda( mwnye Kaunda suti) akiwa katika picha ya pamoja na Kikundi cha wanafunzi walioibuka washindi wa kwanza katika uwasilishaji wa mada wakati wa maadhimisho ya tatu ya Siku ya Ujuzi na Taaluma ya Chuo cha Kodi (ITA) yaliyofanyika chuoni hapo April 29, 2018 jijini Dar es Salaam. Siku hiyo ya Ujuzi na Taaluma (Career Day) inawakutanisha wanafunzi na wadau mbalimbali ambapo wanafunzi uonyesha umahiri wao katika fani wanazosomea.Wanafunzi hao waliwasilisha mada kuhusu namna ya kuandaa mipango ya kodi. 

No comments