Makamu Wa Rais Mhe Samia Azindua Maonyesho Ya Ya Kimataifa Ya Utalii Ya Swahili International Tourism Expo Jijini Dar.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi mwakilishi wa Kampuni ya Ethiopia
Airline tuzo ya kuthamini mchango wa kampuni hiyo katika kufanikisha
maonesho ya Tatu ya Kimataifa ya Utalii ya Kiswahili (Swahili
International Tourism Expo) katika hafla ya uzinduzi wa maonesho hayo leo
jijini Dar es Salaam.
Washriki wakifatilia mada
mbalimbali ambazo zilikuwa zinawasilishwa katika maonesho ya Tatu
ya Kimataifa ya Utalii ya Kiswahili (Swahili International Tourism Expo) katika
hafla ya uzinduzi wa maonesho hayo leo jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamis Kigwangala akiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa Giraffer Ocean View Hotel katika moja ya mabanda ya
maonesho mara tu baada ya ufunguzi wa mkutano leo jijiji Dar es Salaam.
No comments