Breaking News

MMILIKI WA HABARI24 BLOG EXAUD MTEI APATA NONDO YA ELIMU YA JUU

Mmiliki wa mtandao wa Habari 24 Bw. Exaud Mtei akiwa katika pozi, katika maafari 41 ya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama jijini Dar es salaamii.

Dar es salaam:
Chuo cha ustawi wa jamii siku ya tarehe 25 novemba kimefanya maafari yake ya 41 toka kuanzishwa kwake, ambapo wahitimu zaidi ya 300 walitunukiwa vyeti vya kuhitimu fani mbalimbali siku hiyo na mmoja wapo akiwa ni Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media Bw. Exaud Mtei.

"Uongozi wa Mtandao wa Harakati za Jiji blog unachukua nafasi hii kumpongeza mkurugenzi huyo, kwani safari hiyo aliyokuwa nayo kwa kipindi cha miaka mitatu haikuwa rahisi".
 Wahitimu wakisikiliza kwa umakini hotuba mgeni rasmi.
Muhitimu wa Shahada ya Ustawi wa Jamii ambaye ni Mmiliki wa mtandao wa Habari 24, Bw. Exaud Mtei (Pchani) akipongezwa na Mtangazaji wa kituo cha EATV Bw. Materu (katikati) na Mmiliki wa Mtandao wa Full Habari Media Bw. Selemani Magari mara baada ya kumalizika mahafali  41 ya chuo cha ustawi wa jamii Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media Bw.Exaud Mtei akipongezwa na Mkurugenzi mtendaji wa Full Habari Blog Bw. Selemani Magari mara baada ya kumalizika mahafali  41 ya chuo cha ustawi wa jamii Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media, Bw. Exaud Mtei akiwa katika picha ya pamoja na familia yake.

Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media, Bw. Exaud Mtei akipata chakula cha baadhi ya wageni waalikwa mara baada ya kumalizika mahafali  41 ya chuo cha ustawi wa jamii Jijini Dar es salaam.

No comments