Wasanii kibao Kunogesha Uzinduzi Wa Filamu Mpya Ya 'Mammu'.
Na
Francis Peter
WASANII
wa nyota walioalikwa katika uzinduzi wa wa filamu ya 'Mammu'
wameoneka kuanzisha mipango yao ya kuona mambo Yanakwenda vema baada ya
kuutangaza vilivyo huku wakipokewavyema katika akaunti zao za mitandao
Msani
wa filamu na tasnia ya tamthiliya nchini Rakheem David amepanga kuwapa raha
mashabiki wake katika uzinduzi wa ujio mpya wa filamu iitwayo
'Mammu'unaotarajiwa kufanyika kesho katika ukumbi wa Kking D Hotel iliyopo
Africa sana.
Kuhusiana
na hali inayoendelea Katika mitandao ya kijamii katika
akaunti hizo za mastaa hao waalikwa Rakheem alimeliambia mtandao huu jijini Dar
es Salaam kuwa hadi sasa ujio huo umekuwa kivitio kwani akaunti za mastaa hao
zimeonekana mara baada ya kupost kuizungumzia kumekuwa na mwitiko mkubwa kutoka
kwam mashabiki kutokana na kunyesha utayali wa kuipokea filamu hiyo wakikubali
mvuto wa maandalizi.
"Katika
uzinduzi wangu nimejipanga kwa watakao fika watapita
kwenye
Red Carpet sambamba na kufanya mahojiano nakuwa usiku wa uzinduzi umeandaliwa
na Afrocinema Tours Campany chini ya Richard Kabisi,"alisema Raheem.
Aidha
Nyota huyo ambaye tayari ni mwenye umaarufu
awali
amewahi
kufanya vema katika filamu kama iliyoitwa 'kibajaji
iliyoshirikisha
nyota wengine kama Motorola, Irene Poul pamoja na nyingine iliyoitwa 'Mama
Ntilie 'iliyoshirikisha nyota kama Gabon, King Majuto pamoja na Irene Poul.
Rakheem
ameweza kufanya kweli pia kupitia tamthiliya ya Duty
inayooneshwa
kupitia Star Tv kila siku za jumatano saa 1:00 usiku.
Ukumbi
huo umeandaa uzinduzi huo kupitia mpango mpya uitwao 'New Bambaz Launch' utakao
wakutanisha wasanii wanao tikisa kwa
kazinzuri , ambapo kila Ijumaa itakuwani kawaida kwa msanii wa Bongo Flavour au
filamu inayobamba kufanya makamuzi.
No comments