Breaking News

YANGA JUNIOR KUCHEZA MCHEZO WA KIRAFIKI NA HALELUYA FC YA KOREA

Timu ya Yanga Junior pamoja na Haleluya Fc kutoka Korea zinatarajiwa kucheza kucheza mchezo wakirafiki utakaochzwa 8 mwezi huu katika uwanja wa jijini Dar es salaam

Akizungumza mapema leo katika ukumbi wa maelezo Mch.Dkt.Huruma Nkone kutoka Tanzania Assemblies of God alisema mchezo huo wa kirafiki umelenga kujenga kuenzi urafiki wa nchi hizi mbili.

alisema siku tarerhe 8 kuanzia saa nane kutakuwepo na aina mbalimbali ya mchezo pamoja na dance maalum kutoka Korea.


Aidha Mch.Nkone amewaomba mashabiki wa michezo kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano hilo ambalo lina lengo la kujenga urafiki baina ya nchi hizo mbili katika sekta ya michezo.

No comments