Breaking News

MAMA SAMIA AWATAKA WAFARANSA KUENDELEA KUWEKEZA TANZANIA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bibi. Melika Berak akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.
Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bibi. Melika Berak akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Dkt. Reginald Mengi akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bibi. Melika Berak wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.Wapili kushoto ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Dkt. Reginald Mengi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akifafanua jambo alipokuwa akitembelea Banda la Kampuni Mafuta ya Total wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Dkt. Reginald Mengi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Kitanzania anayefanya kazi katika Kampuni ya Ufaransa alipotembelea mabanda wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo alipotembelea banda la Kampuni ya Supperdoll (wasambazaji wa Matairi aina Michellin) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Kutoka kulia kwake ni Balozi wa Ufaransa hapa nchini Melika Berak na Mkurugenzi Mtendaji wa Supperdoll Seif Seif(kushoto).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Dkt. Reginald Mengi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Bibi. Melika Berak wakati wa hafla ya uzinduzi wa Maonyesho ya Jukwa la Wafanyabiashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. 
Baadhi ya wafanyabiashara kutoka Ufaransa wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Maonyesho ya Jukwa la Biashara baina ya Ufaransa na Tanzania jana Jijini Dar es Salaam. Maonyesho hayo ya siku nne yanafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

Picha zote na: Frank Shija – MAELEZO.

No comments