Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye ukumbi wa Kituo cha
Mikutano cha Julius Kambarage Nyerere baada ya kuzngumza na Viongozi na
Watumishi wa Manispaa ya Ilala Agosti 18, 2016. Wengine ni Mkuu wa
Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda (kulia kwake), Katibu Tawala wa
Mkoa wa Dar es salaam, Teresia Mmbando (kushoto) , Mwenyekiti wa CCM wa
mkoa wa Dar es salaam, Ramadhani Madabida (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dar
es salaam Sophia Mjema .Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Viongozi na Watumishi wa
Manispaa ya Ilala jijini Dar es salam kwenye Kituo cha Mikutano cha
Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.Baadhi ya Viongozi na watumishi wa Manispaa ya Ilala wakisikiliza
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
alipozungumza nao kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius
Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.Baadhi ya Viongozi na watumishi wa Manispaa ya Ilala wakisikiliza
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
alipozungumza nao kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius
Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.
WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI NA VIONGOZI WA MANISPAA YA ILALA
Reviewed by Harakati za jiji
on
August 18, 2016
Rating: 5
No comments