Breaking News

MWENYEKITI WA BODI YA PAROLE MHE MREMA, AKUTANA NA WAKAZI WA TANDALE UWANJA WA FISI NA KUZUNGUMZA NAO JUU YA CHAMAMOTO ZINAZOWAKABILI

Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema akisisitiza jambo kwa wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema akisisitiza jambo kwa wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama katikati ni mjumbe wa Bodi hiyo Bi. Teddy Killa na mwisho kulia ni mjumbe wa Bodi hiyo Bw. Ben Mwalutende
Mjumbe wa Bodi ya Parole akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Augustine Mrema alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama, kulia ni mjumbe wa Bodi hiyo Bw. Ben Mwalutende
Wanancihi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema (hayupo pichani) wakati alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Msoma Risala kwa niaba ya wakazi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi wakati Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Augustine Mrema alipokwenda kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wakazi hao hasa akina mama.
Mkazi wa Mtaa wa Pakacha kata ya Tandale Uwanja wa Fisi akimueleza Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Dkt. Augustine Mrema kero mbalimbali zinazowakabili hasa akina mama wakati Mwenyekiti huyo alipowatembelea mapema hii leo
 

No comments