Breaking News

KAMPUNI YA JATU PLC MKOMBOZI WA WANANCHI KIUCHUMI

Mwonekano wa banda la JATU PLC katika Viwanja Vya Mwalimu JK Nyerere sabasaba ambapo huduma mbalimbali zinzotolewa na kampuni hiyo mafunzo ya ujasiliamali, kuunganishwa na mfuko wa bima ya afya, kununua Hisa kwa Tsh 2,500 na kupata gawio la faida kila mwaka kupitia hisa zako, kuunganishwa na SACCOS ya JATU PLC.

Wakufunzi na Mawakala wa kampuni ya JATU PLC wakitoa semina kwa wananchi wanaotembelea banda lao katika fika Viwanja Vya Mwalimu JK Nyerere sabasaba, Kuhusu huduma mbalimbali zinazotelewa na kampuni Jijini Dar es salaam.
Wananchi waliotembelea banda la JATU PLC wakiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na kampuni hiyo sambamba kupewa maelezo jinsi zinavyozalishwa kwa ubora wa hali ya juu pamoja na kupata fursa nzuri kujiunga kampuni hiyo na namna ya wanavyoweza kufaidika pindi watakapo jiunga na miradi ya JATU PLC.

Baadhi ya bidhaaa zinazozalishwa kampuni hiyo Unga wa Dona na Sembe katika kiwanda chao kilichopo KIBAIGWA mkoani Dodoma sambamba na kuwaga gawio la kila mwezi kwa wateja wao kutokana na kufanya manunuzi yake yeye na mtandao wake.

Kwa mawasiliano zaidi fika Viwanja Vya Mwalimu JK Nyerere sababsaba, banda namba 56 karibu na banda la maliasili au unaweza kuwasiliana nao kupitia  namba +255653403916 au +255719292147.

Barua pepe info@jatu.co.tz pia unaweza kutembelea ukurasa wao kuona shughuli zao zote katika  www.jatu.co.tz


No comments