RAIS WA AWAMU YA PILI ALI HASSAN MWINYI AMEFARIKI DUNIA
Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amefariki Dunia, leo Februari 29, 2024 akiwa na Miaka 98
Taarifa hiyo imetolewa usiku huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Februari 2, 2024 Familia ya kiongozi huyo ilitangaza kuwa amelazwa Hospitali kwaajili ya Matibabu baada ya kuugua
No comments